iqna

IQNA

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) –Mashindano ya 62 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Malaysia yalianza rasmi Jumatano usiku katika mji mkuu wa Malaysia wa Kuala Lumpur.
Habari ID: 3475957    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/20

TEHRAN (IQNA)- Kasisi wa Kanisa la Koptik nchini Misri amehudhuria sherehe za kufunga mashindano ya kuhifadhi Qur'ani katika jimbo la Beheira nchini Misri.
Habari ID: 3475162    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/24